Jumatano, 27 Aprili 2016

MATOKEO YA YANGA LEO TAREHE 27/8/2016

Young african sports club watoto wa jangwan almaarufu "wakimataifa" wameendeleza ushindi kwa kuwafunga mgambo jkt ya Tanga goli mbili kwa moja, shukran zimwendee Daud kaseke aliyesawazisha bao baada ya Mgambo Jkt kuongoongoza.. Alikuwa kaseke tena aliipatia yanga Goli la pili na La ushindi.Kwa matokeo hayo young aftican wanaongoza ligi kuu kwa point 62 wakifuatiwa  na Azam fc wenye point 58,simba sc ni ya Tatu..

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni