Jumatano, 27 Aprili 2016
MATOKEO LIGI YA MABINGWA YA ULAYA ATLETICO MADRID VS BAYERN MUNICH
Uefa champion League iliendelea jana usiku ikiwakutanisha Atletico Madrid (SPAIN) na Mianmba ya Ujeruman Bayern Munich pale Vicente Calderon ambapo mchezaji sauli wa Atletico Madrid aliwainua washabiki wa Atletico na kuipa timu yake goli la ushindi katika kipindi cha kwanza. Hivyo kwa matokeo hayo Atletico wanatanguliza mguu mmoja kwenye Fainali itakayocheza huko Millan mwezi May..
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni