Jumatano, 26 Oktoba 2016

VIKWAZO VYA UJASILIAMALI

Ujasiliamali ni nguzo muhimu katika maendeleo ya watu Popote duniani. Hii ni sekta muhimu ambayo inawezakuleta ajira ya moja kwa moja au isiyo ya moja kwa moja kwa watu hasa vijana. Kwa Nchi zinazoendelea hasa za Africa sekta hii ni muhimu sana ili kupunguza tatizo la ajira kwa vijana. Nchi nyingi za Africa ina namba kubwa ya vijana wasio na kazi ambapo hupelekea vijana kujiunga na delta zisizo rasmi ili wapate pesa za haraka na kukidhi mahitaji Yao. Je ni nini changamoto zinazowakabili?
  • Kukosekana.kwa mitaji: hili ni.tatizo sugu amabalo hufanya watu wengi washindwe kwenye sekta ya ujasiliamali. Bank na taasisi za kifedha zimekuwa zinatoa masharti magumu ili kupata Mtaji kama uwe na kiwanja ,nyumba na kadhalika.
  • Elimu duni ya ujasiliamali inachangia wale wanothubutu kushindwa kufikia malengo au mafanikio kwa sababu ya elimu duni au mazoea pia ugumu wa maisha hupelekea biashara kutofanikiwa.
  • Starehe vijana wengi wanakumbwa na nanga la.kupenda starehe hivyo hupelekea kipato kuishi kwenda kumbi za starehe , bar na kwenye majumba ya kulala wageni

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni